WHO inawasaidia wakimbizi wanaokimbia machafuko nchini DRC kupata huduma za matibabu
Nchini Jamhuri ya kidemokrasia kongo DRC Jimboni kivu kaskazini zaidi ya wakimbizi milioni 2.5 wanaishi katika kambi za wakimbizi ambazo zina hali mbaya ambayo ni tishio kwa afya zao. Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO linatoa usaidizi kwa wakimbizi hao.