Uokaji mikate kwangu ni zaidi ya riziki ni thibitisho, kuwa mkimbizi sio kulemaa: Shebulike
Muokaji mikate mkimbi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC anawapa mkate wa kila siku wakimbizi wenzake wanaopata hifadhi nchini Burundi na wenyeji, huku akijipatia kipato kwa familia yake, na kulinda hadhi yake. Kupitia biashara ya duka la mikate au bekari aliyoifungua.