Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Nickolay Mladenov, Mratibu Maalum wa mchakato wa amani Mashariki ya Kati  akihutubia Baraza la Usalama la UN
UN /Loey Felipe

Vitendo vya uchokozi vinahatarisha usalama Mashariki ya Kati:Mladenov

Wakati uhasama kati ya Israeli na Palestina ukiendelea kushuhudiwa, Mratibu maalum wa Umoja wa Mataifa kwenye mchakato wa amani huko Mashariki ya Kati Nickolay Mladenov ameelezea kuhusu hali mbaya inayoendelea ambako vitendo vya kigaidi, mashambulizi dhidi ya raia, makabiliano na waandamanji, uharibifu wa mali, kujengwa kwa makazi ya walowezi na janga la ufadhili ambavyo vimesababisha hali iliyokuwa mbaya kudorora zaidi.