Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

02 APRILI 2020

02 APRILI 2020

Pakua

Katika Jarida la habari hii leo assumpta Massoi anakuletea

-Siku ya uelimishaji kuhusu usonji ikiadhimishwa leo Umoja wa Mataifa umetoa wito kuhakikisha watu hao wanajumuisha katika harakati za kupambana na janga la virusi vya Corona , COVID-19

-Huko nchini Suda Kusini japo bado hakuna mgonjwa yeyote wa virusi vya Corona COVID-19 mpango wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS kwa kushirikiana na serikali wachukua hatua kujikinga ikiwa ni pamoja na kufunga soko kubwa mpkani wa nchi hiyo na DRC

-Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema liko katika maandalizi makubwa kwenye kambi ya wakimbizi wa Syria nchini Jordan ya zaa'tar kukabiliana na mlipuko wa COVID-19 endapo utatokea kambini hapo

-Makala yetu leo inatupeleka nchini Tanzania ambako madereba wa usafiri wa pikipiki maarugu kama Bodaboda wanachukua hatua kudhibiti maambukizi kwa kusaga ndoo na sabuni kwa ajili ya kunawa mikono

-Na mashinani ikiwa ni siku ya kuelimisha jamii kuhusu usonji, tunakwenda Tanzania kukutana na mshairi Glory Titus Moshi almaarufu GloryPoetry.

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
12'59"