Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa UNMEER azuru manusura wa Ebola

Mkuu wa UNMEER azuru manusura wa Ebola

Pakua

Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa mapambano dhidi ya Ebola UNMEER, Anthony Banbury ametembelea manusura wa homa ya Ebola nchini Sierra Leone.

Pia ametumia fursa ya ziara hiyo kutembelea makaburi ya watu waliokufa kufuatia ugonjwa huo hatari unaoshamiri Afrika Magharibi.

Ungana na Joseph Msami katika Makala inayomulika ziara hiyo.

Photo Credit
Mkuu wa UNMEER, Anthony Banbury akizungumza huko Kenema, Sierra Leone na baadhi ya waliopona Ebola. (Picha:UN/Ari Gaitanis)