Neno la Wiki- "Pepa"
Na leo katika Neno la Wiki mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "PEPA"
Na leo katika Neno la Wiki mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "PEPA"
Neno la Wiki wiki hii ambapo mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA akifafanua neno susurika
Hii leo kwenye Neno la Wiki tunasikiliza shairi kutoka kwake mwanariwaya na mwanachama wa Chama cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA, Ken Walibora akighani shairi lake, Imekuwaje? Karibu!
Sasa tunakwenda kwa mtaalam wetu wa kiswahili juma hili ambaye ni Mwanahija Ali Juma katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar , BAKIZA anafafanua msemo usemao "Kufadhili mfadhili mbuzi binadamu atakuudhi".