The Africa Soft Power Rwanda ujumuishe wanawake katika mkutano wao: UN
Viongozi, watafiti, vijana, na wanawake kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamekusanyika Kigali kwa ajili ya mkutano wa pili wa Africa Soft Power kuanzia tarehe 23 hadi 27 Mei 2023.
Mkutano huu umeandaliwa kwa ushirikiano na Umoja wa Mataifa nchini Rwanda. Mratibu mkazi wa Umoja wa Mataifa Rwanda ni Ozonnia Ojielo anasema