Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano

Picha/ UN/Albert Gonzales Farran

Haipaswi kua ni chaguo baina ya kifo na uhai katika huduma ya afya: WHO

Huduma ya afya inapaswa kuwa ni haki ya binadamu na haipaswi kumpa mtu chaguo la kifo au uhai, kwa sababu tu anashindwa kumudu gharama za matibabu. 

Hayo yamesemwa na shirika la afya ulimwenguni WHO katikakuelekea siku ya afya duniani hapo Aprili 7. Flora Nducha amezungumza na Dr Hillary Kipruto wa WHO kuhusu kauli mbiu ya mwaka huu ambayo ni huduma ya afya kwa wote.

Sauti
2'14"