Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

01 NOVEMBA 2022

Hii leo katika Habari za UN kubwa ni Mada kwa Kina ikimulika ni kwa namna gani wavumbuzi wanasakwa duniani ili kufanikisha lengo namba 9 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs la kutaka uvumbuzi, ugunduzi kwa ajili ya maendeleo endelevu. Leah Mushi amezungumza na Andrew Minja, Afisa kutoka kampuni ya Ye2 ambayo kazi yake ni kusaka uvumbuzi na ugunduzi bila kusahau kuhakikisha wavumbuzi hao wananufaika na kazi zao za kufanya dunia kuwa pahala bora zaidi kwa kila mtu.

Habari kwa ufupi zinasomwa kwako na Flora Nducha akimulika:

Sauti
14'3"