Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

Jarida Octoba 1 2021

Ni ijumaa ya tarehe Mosi mwezi Octoba mwaka 2021 karibu uungane na Assumpta Massoi kusikiliza jarida ambapo kama ilivyo ada ya kila Ijumaa tunakuletea mada kwa kina, leo tutakuleta mahojiano na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Peter Mathuki alipohudhuria mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA76, jijini New York Marekani.

Sauti
12'25"