Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida la Habari

Jarida Septemba 01 2021

Katika jarida na Grace Kaneiya hii leo utasikia ziara maalum ya Balozi Liberata Mulamula amaye ni waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania nchi Marekani kuzungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres. 

Pia utasikia taarifa inayoangazia ripoti mpya ya hali ya hewa iliyotolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa WMO 

Sauti
12'46"