Ni azimio la kihistoria kulinda urithi wa dunia dhidi ya ugaidi
[caption id="attachment_313389" align="aligncenter" width="625"]utamaduniga
Baaraza la usalama la Umoja wa mataifa Ijumaa limepitisha azimio la kihistoria kulinda urithi wa kitamaduni wa dunia dhidi ya makundi ya kigaidi wakati wa vita vya silaha.