Vikundi vya kigaidi ISIL vyafukuza maelfu ya wananchi na kunyonga mamia ya watu: Mosul Iraq
Ofisi yahakiza bunadmau ya Umoja wa Mataifa imelaani vitendo vinavyotekelezwa na kundi la kigaidi la ISIL kuwalazimisha mamia ya maelfu ya watu kuyakimbia makazi yao katika wilaya karibu na Mosul na raia wengine kulazimishwa kuhamia ndani ya mji wenyewe tangu mapambano ya kivita yalianza tarehe 17 Oktoba kurejesha udhibiti wa serikali ya Iraq.