Hofu ya kirusi Zika, WHO yaitisha mkutano.
Shirika la Afya Duniani, WHO tarehe 28 mwezi huu litaitisha mkutano maalum kuhusu kirusi aina ya Zika. Amesema leo msemaji wa WHO Christian Lindmeier, wakati huu ambapo kirusi hicho tayari kimeripotiwa kwenye nchi 20 huku Brazil ikiwa ni nchi iliyoathirika zaidi.