Ingawa bado ina changamoto Kenya inasema imepiga hatua katika vita vya ukimwi
Pamoja na kwamba mkutano wa ngazi ya kimataifa wa ukimwi ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa umekamilika lakini vita dhidi ya ukimwi vinaendelea.
Pamoja na kwamba mkutano wa ngazi ya kimataifa wa ukimwi ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa umekamilika lakini vita dhidi ya ukimwi vinaendelea.
Umoja wa Mataifa leo Juni 8 umezindua mpango maalumu wa kukabiliana na unyanyapaa kwa wafanyakazi wanaoishi na virusi vya HIV katika mada ya “unyanyapaa unachagiza maambukizi zaidi”.
Gharama ya matibabu hasa katika mataifa yanayostawi imetajwa kama changamoto kubwa katika vita dhidi ya magonjwa.
Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan umesema wakati maelfu ya watu wakikimbia jimbo la Abyei Sudan kutokana na machafuko na kuelekea Sudan Kusini, mashirika ya misaada yanaongeza juhudi za msaada wa kibinadamu.
Serikali ya mpito ya Somalia imeambiwa sasa umefika wakati wa kumaliza tofauti zao, na kuzingatia maslahi ya taifa.
Wito huo umetolewa na ujumbe wa braza la usalama la Umoja wa mataifa uliohitimisha mkutano wa kujadili hali ya Somalia mjini Nairobi Kenya.
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM kuanzia mwishoni mwa wiki hii wataanza kuwasafirisha maelfu ya wahamiaji waliokwama jangwani mpakani mwa Chad na Niger.
Somalia ambayo kwa zaidi ya miongo miwili sasa haina serikali kuu inazidi kujikuta katika njia panda ya kisiasa kwa mgawanyiko kughubika uhusiano baina ya Rais wa serikali ya mpito na spika wa bunge.
Zaidi ya watu 20,000 wengine walioukimbia mji huo wanatarajiwa kupokea chakula hicho siku chache zijazo. WFP kwa ushirikiano na shirika la mwezi mwekundu pia watagawa chakula kwa watu 85,000 kwa muda wa wiki mbili zijazo kwenye mji wa Benghazi na maeneo yaliyo karibu.