17 MEI 2023
Jaridani hii leo tunaangazia machafuko nchini Sudan na mchakato wa uchaguzi nchini Sudan Kusini. Makala tunakupeleka nchini Kenya na Mashinani yunasalia hapa makao makuu kusikia ujumbe kuhusu idadi ya watu duniani.
Jaridani hii leo tunaangazia machafuko nchini Sudan na mchakato wa uchaguzi nchini Sudan Kusini. Makala tunakupeleka nchini Kenya na Mashinani yunasalia hapa makao makuu kusikia ujumbe kuhusu idadi ya watu duniani.
Hii leo siku ya kimataifa ya kuishi pamoja kwa amani, halikadhalika siku ya kimataifa ya mwanga na nitakuletea mada kwa kina ikimulika jinsi njaa inavyotumbukiza wanawake kwenye ukatili wa kingono huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Hii leo ni siku ya kimataifa ya familia duniani ambapo maudhui ya mwaka huu ni mienendo ya makundi ya watu na familia wakati huu ambapo idadi ya watu inaongezeka ingawa kwa kiwango cha chini. Umoja wa Mataifa unasema kupungua kwa idadi ya wanafamilia hutoa fursa ya familia kupatia hudu
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO, hii leo limetoa mwongozo unaoshauri watu wasitumie vikoleza utamu visivyo sukari halisia (NSS) kwa lengo la kupunguza uzito na kuepusha magonjwa yasiyo ya kuambukiza, NCDs.
Wananchi wa Malawi walioathirika na Kimbunga Freddy wamepongeza mbinu ya kutumia kilniki za kuhama kwa njia ya magari iliyotumiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kuwahudumia wanawake na watoto nchini Malawi baada ya kimbunga Freddy kilicholipiga eneo hilo takribani mie
Hii leo jaridani tuanaangazi ripoti ya WHO ya vikoleza utamu visivyo sukari halisia, na huduma za afya zizazotolewa nchini Malawai kupitia kilniki za kuhama kwa njia ya magari. Makala tunakupeleka nchini DRC na mashinani nchini Tanzania, kulikoni?
Ni takribani wiki moja tangu eneo la Kalehe lililoko jimbo la Kivu Kusini nchini DRC, likumbwe na mafuriko kufuatia kuongezeka kwa kina cha maji katika mito kulikosababishwa na mvua kubwa.
Mwezi Septemba mwaka huu wakuu wa serikali na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kama ilivyo ada ya kila mwaka watakutana katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani kujadili masuala mbalimbali ya Ulimwengu.
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa Kikosi cha 6 cha kutoka Tanzania TANBAT 06 wanaohudumu chini ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) wamepokea ugeni na salamu kutoka Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kupitia ujumbe uliongozwa na Briged
Jaridani hii leo tunakuletea mahojiano kuhusu masuala ya vijana, na pi tunaangazia kazi ya walinda amani TANBAT 6 nchini DRC. Makala tunaangazia maafuriko Kalehe nchini DRC, na mashinani tunaakuletea ujumbe kuhusu watoto wanaozaliwa njiti.