20 Machi 2020
ASSUMPTA: Hujambo na karibu kusikiliza jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa mimi ni ASSUMPTA MASSOI nikiwa hapa hapa New York Marekani
JINGLE (04”)
ASSUMPTA: Hujambo na karibu kusikiliza jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa mimi ni ASSUMPTA MASSOI nikiwa hapa hapa New York Marekani
JINGLE (04”)
Wakati visa vya ugonjwa wa COVID-19 vikiongezeka duniani kote na sasa pia Afrika Mashariki ikiwemo nchini Tanzania. Je wananchi wanaelewa vipi kuhusu virusi vya coroan na wamechukua hatua zipi kujikinga dhidi ya virusi hivyo?
Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini umetangaza hatua mpya katika kusaidia juhudi zinazoongozwa na serikali ya Sudan kusini katika kuzuia na kujiandaa na mlipuko wa virusi vya Corona, COVID-19. Grace Kaneiy ana ripoti kamili.
Nchini Tanzania maambukizi ya virusi vya Corona au COVID-19 yameendelea ambapo hii leo wagonjwa wapya wawili wote wakazi wa Dar es salaam wamethibitishwa kuwa na virusi hivyo baaada ya mmoja kuingia nchini kutoka safari ya Denmark, Uswisi na Ufaransa huku mwingine akiwa amerejea kutoka
Serikali ya Uganda imechukua hatua ya kufunga shule zote, masoko na mijumuiko yote ya umma kama mojawapo ya njia za kuzuia kuenea kwa virusi vya corona au COVID-19 kwenye nchi hiyo ambayo yenyewe hadi sasa haina mgonjwa hata mmoja lakini imezungukwa na nchi mlimothibitishwa mlipuko wa virusi hivy
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Assumpta Massoi anakuletea
-Licha ya kutokuwa na mgonjwa hata mmoja wa COVID-19 serikali ya Uganda imefunga shule zote hadi vyuo vikuu katika maandalizi ya kupambana na mlipuko endapo utazuka ugonjwa huo
Kenya imethibitisha visa vitatu zaidi vya virusi vya corona, na kufikisha idadi jumla ya watu saba waliopatikana kuwa na virusi hivyo hadi sasa.
Assumpta Massoi : Hujambo na Karibu kusikiliza Jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, kutoka hapa New York Marekani.
JINGLE (04”)
Wakati huu ambapo serikali zikitegemea watu kusalia nyumbani ili kusaidia kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya Corona, COVID-19 , ni lazima nchi zichukue hatua za kuzuia mtu yeyote kukosa makazi na kuhakikisha fursa ya mahali pa kukaa kwa wale wasio na makazi. Grace Kaneiya anafafanua zaidi
Nchini Tanzania idadi ya wagonjwa wa Corona au COVID-19 imefikia 3 baada ya wagonjwa wapya wawili kuthibitishwa hii leo wakiwa ni raia wa Marekani na Ujerumani. Taarifa zaidi na Flora Nducha.
(Taarifa ya Flora Nducha)