Uelewa wa COVID-19 na mbinu za kujikinga miongoni mwa wakazi, Pangani, Tanzania
Pakua
Wakati visa vya ugonjwa wa COVID-19 vikiongezeka duniani kote na sasa pia Afrika Mashariki ikiwemo nchini Tanzania. Je wananchi wanaelewa vipi kuhusu virusi vya coroan na wamechukua hatua zipi kujikinga dhidi ya virusi hivyo? Tuungane na Saa Zumo wa Redio washirika Pangani FM ambaye amepita katika mitaa ya Pangani mkoani Tanga kusikia maoni ya wananchi kuhusu ugonjwa wa COVID-19 au virusi vya corona.
Audio Credit
Saa Zumo
Audio Duration
2'51"