Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

22 DESEMBA 2020

Leo mwenyeji wako ni Anold Kayanda anaanzia huko Cabod Delgado nchini Msumbiji kisha Lebanon kwa wakimbizi wa Syria na halafu nchini Sudan Kusini kuangazia umuhimu wa radio katika kuelimisha umma. Makala tuko Tanzania na mashinani tunamleta kwako Angelina Jolie. Karibu!

Sauti
12'37"

21 DESEMBA 2020

Hii leo jaridani ni mada kwa kina na tunakwenda mkoani Mwanza nchini Tanzania ambako shirika la Amani girls home wameanzisha mradi unaowawezesha wasichana hususani wale waliokumbwa na changamoto mbalimbali za kimaisha, ili waweze kufikia malengo yao kwa kuwapa ujuzi mbalimbali.

Sauti
11'25"

18 Desemba 2020

Ikiwa leo ni siku ya wahamiaji duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema ni mwaka wa kutathmini jinsi janga la Corona au COVID-19 lilivyosababisha mamilioni ya watu kukumbwa na machungu ya kutengana na familia zao na kutokuwa na uhakika wa ajira, jambo ambalo limewapatia

Sauti
11'28"