Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya tabianchi, tishio kwa eneo la bonde la ufa Kenya

Mabadiliko ya tabianchi, tishio kwa eneo la bonde la ufa Kenya

Pakua

Kuongezeka kwa maji kwenye maziwa yaliyo eneo la bonde la ufa nchini Kenya ni jambo ambalo linaendelea kuzua wasiwasi miongoni mwa watu wa maeneo hayo na pia pigo kubwa kwa sekta muhimu ya utalii nchini Kenya. Serikali imekuwa ikiwashauri wale wanaoishi karibu na maeneo hayo kuhama na kujitafutia sehemu salama huku ikitafuta suluhusu ikiwa maji hayo yatazidi kuongezeka siku zinazokuja. Mwandishi wa Kenya Jason Nyakundi amezungumza na mtaalamu wa hali ya hewa nchini Kenya Henry Ndede kutaka kufahamu chanzo ni kipi.

Audio Credit
Jason Nyakundi/ Henry Ndede
Audio Duration
2'38"
Photo Credit
FAO/Rudolf Hahn