Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

11.12.2018

Leo ni siku ya milima duniani. Umoja wa Mataifa unapigia chepuo maeneo hayo kwa kaulimbinu milima ni muhimu. Biashara mtandaoni ikiwezeshwa yaweza kuliinua bara la Afrika  yasema UNCTAD, Mradi wa Benki ya Dunia Niger wakomesha hamahama ya wananchi kutokana na ukame.

Sauti
12'19"