Hatua zimepigwa lakini kuna fursa ya kulinda haki za watu wenye ulemavu Tanzania-Lihiru
Takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO zinakadiria kuwa takriban asilimia 80% ya watu wenye ulemavu wanaishi katika maisha ya ufukara .
Takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO zinakadiria kuwa takriban asilimia 80% ya watu wenye ulemavu wanaishi katika maisha ya ufukara .
“Vijana waache kutumia muda wao mwingi kufuatilia habari za watu maarufu mitandaoni bali watafute fursa za kuwanufaisha wao na jamii zao.”Ni maneno ya Marygoreth Richard mwandisih wa habari wa Media Action ya shirika la utangazaji la Uingereza, BBC ambaye alishinda tuzo ya&
Hatimaye siku 16 za kupiga vita na kutokomeza ukatili wa kijinsia kwa mwaka huu wa 2018 zimefikia tamati ambapo maeneo mbalimbali duniani yametamatisha kampeni hiyo kwa matukio tofauti.
Leo ni siku ya milima duniani. Umoja wa Mataifa unapigia chepuo maeneo hayo kwa kaulimbinu milima ni muhimu. Biashara mtandaoni ikiwezeshwa yaweza kuliinua bara la Afrika yasema UNCTAD, Mradi wa Benki ya Dunia Niger wakomesha hamahama ya wananchi kutokana na ukame.
Leo tarehe 10 Desemba mwaka 2018 ni kilele cha maadhimisho ya siku ya haki za binadamu duniani ambapo katika mfululizo wa wetu wa kuchambua ibara kwa ibara za tamko la haki za binadamu, tunatamatisha kwa kuangazia ibara ya 30.
Wakati viongozi wa ndunia wakiendelea kukuna vichwa mjini Katowice nchini Poland kusaka dawa mujarabu ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwenye mkutano wa COP24 hadi Disemba 14, jinamizi hilo limeendelea kuziathiri jamii mbalimbali duniani. Nchini Bolivia, takriban asilimia 40 ya wa
Baaa ya majadiliano ya miezi, wiki, siku na saa, hatimaye mkataba kwa kimataifa ambao ni wa kihistoria kuhusu wahamiaji leo umepitishwa Rasmi mjini Marrakesh Morocco. Grace Kaneita na taarifa kamili.
Leo ni siku ya haki za binadamu duniani ambapo ni kumbukizi ya miaka 70 tangu kupitishwa kwa tamko hilo tarehe 10 mwezi desemba mwaka 1948 huko Paris Ufaransa.
Baada ya majadiliano ya miezi, wiki, siku na saa, hatimaye mkataba kwa kimataifa ambao ni wa kihistoria kuhusu wahamiaji leo umepitishwa rasmi mjini Marrakesh Morocco.
Mauritius imechukua nafasi ya juu kwa nchi za bara Afrika zenye utayari wa kufanya biashara kwa njia ya mitandao.