Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Katu mtu au taasisi au serikali isijinasibu kuwa haki fulani ni za mtu au kundi fulani

Katu mtu au taasisi au serikali isijinasibu kuwa haki fulani ni za mtu au kundi fulani

Pakua

Leo tarehe 10 Desemba mwaka 2018 ni kilele cha maadhimisho ya siku ya haki za binadamu duniani ambapo katika mfululizo wa wetu wa kuchambua ibara kwa ibara za tamko la haki za binadamu, tunatamatisha kwa kuangazia ibara ya 30. Ibara hii inaeleza baya kuwa haki zote zilizomo kwenye tamko hilo lililopitishwa tarehe 10 Desemba mwaka 1948 huko Paris, Ufaransa haziachanishiki. Je hii ina maana gani, wakili Jebra Kambole, kutoka Tanzania ambaye pia ni mwanaharakati wa haki za binadamu anafafanua.

 

Audio Credit
Grace Kaneiya/Jebra Kambole
Audio Duration
1'35"
Photo Credit
UN Picha/Greg Kinch