Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkataba wa uhamiaji wapitishwa rasmi

Mkataba wa uhamiaji wapitishwa rasmi

Pakua

Baaa ya majadiliano ya miezi, wiki, siku na saa, hatimaye mkataba kwa kimataifa ambao ni wa kihistoria kuhusu wahamiaji leo umepitishwa Rasmi mjini Marrakesh Morocco. Grace Kaneita na taarifa kamili.

Audio Credit
Grace Kaneiya
Audio Duration
1'43"
Photo Credit
UN Photo/Mark Garten)