Mkataba wa uhamiaji wapitishwa rasmi
Pakua
Baaa ya majadiliano ya miezi, wiki, siku na saa, hatimaye mkataba kwa kimataifa ambao ni wa kihistoria kuhusu wahamiaji leo umepitishwa Rasmi mjini Marrakesh Morocco. Grace Kaneita na taarifa kamili.
Audio Credit
Grace Kaneiya
Sauti
1'43"