Wakimbizi walioko Uganda wazungumzia krismasi yao
Nchini Uganda, maelfu ya wakimbizi kutoka nchi jirani za Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wamesaka hifadhi kutokana na machafuko nchini mwao. Je kwao wao sikukuu ya Krismasi iko vipi? Ungana basi na Joseph Msami kwenye jarida hili maalum ambalo kwamo John Kibego amevinjari kwenye kambi ya wakimbizi ya Kyangwali nchini Uganda.