Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Doria za mchana zaleta nuru CAR- Kapteni Vianney

Doria za mchana zaleta nuru CAR- Kapteni Vianney

Kesho Jumanne, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ataanza ziara nchini CAR, ambapo pamoja na kutumia siku hiyo kuadhimisha siku ya Umoja wa Mataifa, ataonyesha mshikamano na wananchi na walinda amani wa Umoja huo nchini humo.