Mratibu wa Umoja wa Mataifa kuhusu mchakato wa amani ya Mashariki ya Kati Nicolay Mladenov amesema ni muhimu kujenga mazingira ya kuanza upya mazungumzo ya amani kati ya pande mbili kinzani za Israel na Palestina kwani suluhu pekee ya amani ya kundumu katika eneo hilo ni mazungumzo.