Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umuhimu wa vyandarua katika kujikinga na malaria

Umuhimu wa vyandarua katika kujikinga na malaria

Shirika la afya ulimwenguni, WHO kwenye ripoti yake ya mwaka 2016 iliyotolewa Desemba 13 kwa ajili ya malaria linaeleza kuwa watoto na wanawake wajawazito barani Afrika wana fursa ya kudhibiti Malaria.  Miongoni mwa mbinu za kukabiliana na ugonjwa huo hatari ni kutumia vyandaraua. Nchini Tanzania juhudi za kukabiliana na malaria kupitia mkakati wa kitaifa zinaendelea ili kuutokomeza.

Katika makala hii, Bwana Mabamba Mpela Junior, wa redio washirika Umoja redio ya Kigoma Tanzania anamulika umuhimu wa vyandarua katika kujikinga na malaria nchini humo, ungana naye..