Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vyama vya ushirika vyakomboa wakimbizi nchini Uganda

Vyama vya ushirika vyakomboa wakimbizi nchini Uganda

Uganda, nchi ambayo inahifadhi idadi kubwa ya wakimbizi wengi wao kutoka Sudan Kusini inapongezwa katika juhudi zake za kubadili maisha ya wakimbizi kwa kuwapa uwezo wa kujimudu na kuboresha maisha yao kwa mfano kumiliki ardhi na kupata vibali vya kufanya biashara.

Katika makala hii ya John Kibego tutasikia jinsi vyama vya ushirika vinavyowasaidia wakimbizi hususan wakulima kujikwamua kiuchumi.