Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IFAD, EU wakwamua kilimo Kenya

IFAD, EU wakwamua kilimo Kenya

Mfuko wa kimataifa wa maendeleo yakilimo IFAD, Muungano wa Ulaya wamewezesha kilimo kinachoendana na ukame nchini Kenya hatua inayokwamua wakulima katika umasikini.

Ungana na Grace Kaneiya katika makala itakayokueleza namna wakulima walivyobadilishwa kufuatia kilimo kinachostahimili ukame.