Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO yatunza msitu wa Mau, Kenya na jamii yake

@FAO

FAO yatunza msitu wa Mau, Kenya na jamii yake

Nchini Kenya, sehemu za misitu zinafunika asilimia 1.9% tu ya ardhi, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, ambayo ni idadi ndogo sana ikilinganisha na asilimia 68 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Kutunza na kupanda upya msitu wa Mau, nchini humo, kumekuwa jambo la msingi ili kuzuia jangwa kubwa la kiekolojia. Lakini utunzaji wa msitu huo uliibua changamoto nyingine, zikiwemo kusaidia jamii ya watu wa asili wa Ogyek, ambao walikuwa wanategemea msitu tu kwa kuishi.

Ungana na Priscilla Lecomte kwenye makala hii!