Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafunzo ya wanamgambo nchini Somalia

Wananchi atizama wakati mafunzo yakiendelea(Picha ya UM/Unifeed)

Mafunzo ya wanamgambo nchini Somalia

Wakati Somali ikiendelea na juhudi za amani baada ya vita ya miongo mbili. Umoja wa Mataifa, jamii ya kimataifa na serikali ya nchi hiyo zimechukua hatua mbali mbali katika kuweka amani nchini Somalia. Basi ungana na Joseph Msami katika makala hii kuhusu mafunzo kwa wanamgambo.