Mbwa watumika kumiarisha ulinzi kwa raia Sudani Kusini
Wakati hali ya machafuko ikiendelea nchini Sudani Kusini ulinzi hususani kwa raia ni changamoto kubwa kwa sasa. Umoja wa Mataifa ambao licha ya juhudi ambazo unachukua kuhakikisha machafuko yanakomeshwa unachukua hatua stahiki za ulinzi na sasa wanyama mbwa wanatuika wka ajili ya ulinzi nchini humo.
Ungana na Joseph Msami katika ripoti inayofafanua zaidi