Uganda yahaha kunusuru mazingira
Utunzaji wa mazingira ni miongoni mwa malengo manane ya maendeleo ya milenia yanayojadiliwa katika mkutano wa 68 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa, ili kutathimini utekelezaji wake.
Kufahamu hali ya utunzaji wa mazingira ilivyo nchiniUgandaungana na John Victor Kibego anayeainisha juhudi za serikali katika kukemea uharibifu wa mazingira nchini humo