Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uganda yahaha kunusuru mazingira

Uganda yahaha kunusuru mazingira

Utunzaji wa mazingira ni miongoni mwa malengo manane ya maendeleo ya milenia yanayojadiliwa katika mkutano wa 68 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa, ili kutathimini utekelezaji wake.

Kufahamu hali ya utunzaji wa mazingira  ilivyo nchiniUgandaungana na John Victor Kibego anayeainisha juhudi za  serikali katika kukemea uharibifu wa mazingira nchini humo