Raia takriban 50,000 wakwama Raqqa-Mueller
Takriban raia 50,000 bado wamekwama katika eneo la Raqqa lililokuwa likidhibitiwa na kundi la kigaidi la Daesh, au ISIL, bila njia yoyote ya kujinasua.
Takriban raia 50,000 bado wamekwama katika eneo la Raqqa lililokuwa likidhibitiwa na kundi la kigaidi la Daesh, au ISIL, bila njia yoyote ya kujinasua.