Onyesha mshikamano na wakimbizi kwa kutembea kilometa bilioni 2
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limetangaza leo kuanza kwa kampeni ya kimataifa ya watu kutembea na kufikisha umbali wa kilometa bilioni 2 ambazo wakimbizi hulazimika kutembea kila mwaka. Taarifa zaidi na Arnold Kayanda.