Jukumu la kusaidia wanawake wa Taliban ni letu sote: Bachelet
Umoja wa Mataifa umeusihi uongozi wa Taliban kukubali ombi la wanawake wanchi hiyo la kukaa nao na kujadiliana masuala mbalimbali ikiwemo haki zao za kibinadamu.
Umoja wa Mataifa umeusihi uongozi wa Taliban kukubali ombi la wanawake wanchi hiyo la kukaa nao na kujadiliana masuala mbalimbali ikiwemo haki zao za kibinadamu.
Baada ya siku tano za mijadala na maonesho mbalimbali, mkutano wa pili kuhusu baharí umefikia tamati huko Lisbon nchini Ureno ambako Miguel de Serpa Soares ambaye ni Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kisheria amesema mwelekeo wa kulinda na kuhifadhi baharí unatia matumaini kwa kuzingatia yaliyokubaliwa, changamoto zilizoko sambamba na fursa.