Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Wanabiolojia wa baharini hufanya utafiti kuhusu miamba ya matumbawe
Great Barrier Reef Marine Park Authority/Daniel Schultz

Sayansi na sera zishirikiane ili kusaidia bahari

Baada ya siku tano za mijadala na maonesho mbalimbali, mkutano wa pili kuhusu baharí umefikia tamati huko Lisbon nchini Ureno ambako Miguel de Serpa Soares ambaye ni Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kisheria amesema mwelekeo wa kulinda na kuhifadhi baharí unatia matumaini kwa kuzingatia yaliyokubaliwa, changamoto zilizoko sambamba na fursa.  

Sauti
1'54"