Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Wananchi wa Sudan Kusini washerehekea tamasha la utamaduni la amani katika mji wa Aweil.
UNMISS

Tamasha la utamaduni wa amani layaleta pamoja makabila ya Sudan Kusini

Mwanzoni mwa mwezi huu wa April dunia iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya michezo kwa maendeo na amani, nchini Sudan Kusini kwa siku mbili mfululizo maelfu ya wananchi wa walikusanyika kusherehekea tamasha la utamaduni la amani lililoandaliwa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS kwa kushirikiana na Wizara ya Utamaduni ya jimbo la Kaskazini la Bahr El Ghazal.

Sauti
4'27"