Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Béatrice Tegbagbo kutoka Bunia mji mkuu wa jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC .
UN News

SOFEPADI imeniondoa kwenye utegemezi - Béatrice

“Nashukuru sana SOFEPADI kwani imenisaidia sana kwenye maisha yangu, hivi sasa naweza kununua chumvi, naweza kununua mafuta,” ni kauli  ya Béatrice Tegbagbo kutoka Bunia mji mkuu wa jimbo la Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akizungumza na Idhaa ya Umoja wa Mataifa mjini humo hivi karibuni.