Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Jamii la kabila la watu wa asili ambao wanaishi kwenye misitu iliyo ndani zaidi katika ukingo wa Mto Congo nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC.
UNICEF/Vincent Tremeau

Miti ya migunga yarejesha matumaini kwa wakazi wa msitu wa Congo

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, mradi unaofadhiliwa na Benki ya Dunia wa kupanda miti aina ya migunga imeondoa tishio la ukataji miti holela kwenye msitu wa bonde la mto Congo, ambao ni wa pili kwa ukubwa duniani katika kufyonza hewa ya ukaa na sasa wananchi wananufaika sio tu kwa kupata mkaa bali pia hata watu wa jamii ya asili wanaweza kupata kitoweo porini.

Sauti
2'16"
Wakati wa siku ya afya duniani 7 Aprili 2023, walinda amani wa UN kutoka kikosi cha Tanzania cha kutoa msaada wa haraka, TANZQRF katika kwneye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani, MONUSCO nchini DRC  wametoa huduma za kupima magonjwa yasiyo ya ku…
TANZQRF3/Methew Makoba

Siku ya Afya Duniani: Walinda amani wa UN kutoka TZ nchini DRC waadhimisha kwa vitendo

Leo ni siku ya afya duniani ujumbe ukiwa ni Afya kwa Wote ambapo walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO, wametumia siku hii kuwapima magonjwa yasiyo ya kuambukiza, NCDs, wakazi wa Beni-Mavivi jimboni Kivu.

Sauti
4'41"