Wadau wa kibinadamu wahitaji dola milioni 194.2 kuisaidia Burundi 2023: OCHA
Wadau wa masuala ya kibinadamu kwa kushirikiana na serikali ya Burundi leo wamezindua ombi la pamoja wakihitaji dola milioni 194.2 kwa ajili ya kushughulikia mahitaji ya kibinadamu nchini humo kwa mwaka huu wa 2023.