Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano

Kongamano la UM juu ya ukuzaji sekta ya madini lafikia tamati Tanzania

Kamishna ya Umoja wa Mataifa inayohusika na masuala ya uchumi kwa kanda ya afrika, imehitimisha mkutano wake wa 16 jijini Dar es salaam ambako imesisitiza haja ya kuimarisha sekta ya madini kwa ajili ya kukuza maendeleo barani humo.

(SAUTI GEORGE NJOGOPA)

Mkutano huo ulioduma kwa muda wa juma moja, umewaleta pamoja mawaziri wa masula ya madini, watunga sera, wawakilishi kutoka nchi za Ulaya, pamoja na makundi mengine ya kimaendeleo.

Maoni kuhusu umuhimu wa Radio ya UM

UM ukiadhimisha siku ya Radio duniani hii leo watu kutoka Afrika wametoa maoni kuhusu umuhimu wa Radio, ikiwemo Radio ya Umoja wa Mataifa. Mwandishi wetu kutoka Tanzania alipata kuzungumza na watu mbali mbali waliotoa maoni tofauti tofauti kuhusu umuhimu wa radio ya Umoja wa Mataifa.

(MAONI KUTOKA TANZANIA)