Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

04 JANUARI 2024

Karibu kusikiliza jarida la Umoja wa Mataifa, miongoni wa tuliyokuandalia  ni pamoja na mada kwa kina itakayokupeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumsikia manusura wa ukatili wa kingono. Lakini kabla ya hiyo utasikia Muhtasari wa Habari na kama ilivyo ada ya kila alhamisi tuna

Sauti
11'7"