Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

09 MEI 2023

Jaridani hii leo tunakuletea mada kwa kina ikimulika jitihada za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuendeleza lugha ya Kiswahili kimataifa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo machafuko nchini Sudan, uzazi salama na masuala ya afya . Mashinani tunakupeleka nchini Ethiopia.

Sauti
11'29"