Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa neno "KONGO"
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa neno "KONGO" kutoka kwa mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA.
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunapata ufafanuzi wa neno "KONGO" kutoka kwa mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA.
Jaridani hii leo tunakuletea mada kwa kina ikimulika harakati za shirika moja la kiraia huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC za kuitikia wito wa Umoja wa Mataifa wa kuona mitandao ya kidijitali inatumika kuimarisha afya hasa ya wajawazito na watoto.
Ripoti iliyopewa jina Kuzaliwa kabla ya wakati: muongo wa hatua dhidi ya kuzaliwa kabla ya wakati, iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) pamoja na PMNCH ambao ni Ushirikiano wa mkubwa zaidi unaoangazia Afya ya
Jaridani hii leo tunaangazia machafuko nchini Sudan na hali ya wakimbizi wa ndani na wale wanaosaka hifadhi katika nchi jirani. Makala tunaangazia afya ya uzazi na watoto wanaozaliwa njiti na mashinani tunakupeleka nchini Tanzania, kulikoni?
Nchini Chad, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limeanza kazi ya kusajili wakimbizi walioingia nchini humo kutoka Sudan kufuatia mapigano yanayoendelea kati ya jeshi la serikali na wanamgambo wa RSF kwenye mji mkuu wa taifa hilo Khartoum.
Takriban watu milioni 2 hadi milioni 2.5 wanatarajiwa kutumbukia kwenye janga la njaa nchini Sudan katika miezi michache ijayo kwa sababu ya vita inayoendelea nchini humo limeonya leo shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP.
Jaridani hii leo tunakuletea mada kwa kina ikimulika jitihada za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuendeleza lugha ya Kiswahili kimataifa. Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo machafuko nchini Sudan, uzazi salama na masuala ya afya . Mashinani tunakupeleka nchini Ethiopia.
Malaria ni moja ya magonjwa hatari zaidi duniani ikielezwa na ripoiti ya mwaka 2022 ya shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO kuwa ilikatili maisha ya watu 619,000 duniani kote mwaka 2021 na waliougua ugonjwa huo kufikia milioni 247.
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na vita dhidi ya ukimwi UNAIDS limesema ili kuhakikisha ukimwi unatokomezwa ifikapo mwaka 2030 basi kila mtu anapaswa kujumuishwa katika vita hivyo ikiwemo wafungwa na wanaotumia mihadarati, kwani Mifumo mingi ya magereza inajitahidi kukabiliana na msongam
Jukwaa la 18 la Umoja wa Mataifa la misitu limeanza leo kwenye makao Makuu ya Umoja huo mjini New York Marekani likiwaleta pamoja wadau mbalimbali wakiwemo nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, mfumo wa Umoja wa Mataifa, mashirika ya kimataifa na kikanda na wadau wa misitu ili kujadili thamani ya r