Jifunze kiswahili - Methali: "Mshale kwenda msituni haukupotea"
Katika kujifunza Lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Mshale kwenda msituni haukupotea.” Karibu!