Wanafunzi wapatiwa elimu ya namna ya kuishi na watu wenye ualbino
Mtoto umleavyo ndio akuavyo ni methali unaofundisha jamii kuhakikisha iwapo inataka watoto wawe na tabia fulani basi ni vyema waanze kuwafundisha wangali wadogo.
Mtoto umleavyo ndio akuavyo ni methali unaofundisha jamii kuhakikisha iwapo inataka watoto wawe na tabia fulani basi ni vyema waanze kuwafundisha wangali wadogo.
Hatua za kutokomeza ubaguzi wa kimfumo dhidi ya watu wenye asili ya Afrika zinatekelezwa vipande vipande licha ya serikali mbalimbali duniani kutangaza hatua za kumaliza kitendo hicho dhalimu, imesema ripoti ya Umoja wa Mataifa itakayowasilishwa mbele ya Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki z
Hii leo katika Habari za UN Flora Nducha anamulika:
Taarifa ya kwamba hatua za kutokomeza ubaguzi dhidi ya watu wenye asili ya Afrika zinatekelezwa vipande vipande licha ya harakati zinazoendelea za kuondokana na ubaguzi wa kimfumo.
Na sasa ni kujifunza lugha ya Kiswahili mchambuzi wetu Dkt.
Hii leo Alhamisi ni mada kwa kina Flora Nducha anakupeleka nchini Kenya hususan kaunti ya Migoro kumulika changamoto ya elimu hasa maeneo ya vijijini, lakini zaidi ya yote ni kwa vipi elimu sio tu ufunguo wa maisha bali pia msingi wa maendeleo kama usemavyo Umoja wa Mataifa.
Nchini Zambia wakazi wa kijiij cha Kholowa wilaya ya Katete jimbo la Mashariki wameanza kuona manufaa ya mradi wa maendeleo ya mapema ya mtoto, ECD unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, mradi ambao alianza mwaka 2018 na unashirikisha baba na mama katik
Hatua Madhubuti zinahitajika ili kukabiliana na changamoto za afya ya akili miongoni mwa wafanyakazi , kwa mujibu wa wito mpya wa pamoja uliotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO na lile la kazi duniani ILO.
Katika Habari za UN hii leo Flora Nducha anaanza na Afya ya akili miongoni mwa wafanyakazi na changamoto zake. Taarifa hii kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa ikiwemo lile la afya ulimwenguni, WHO na ajira ILO.
Leo ni siku ya Kimataifa ya unywaji maziwa shuleni, siku inayopigiwa chepuo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo duniani FAO na kauli mbiu ya mwaka huu ni "Faulu Mtihani kwa glasi mo