Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

29 SEPTEMBA 2022

Hii leo Alhamisi ni mada kwa kina Flora Nducha anakupeleka nchini Kenya hususan kaunti ya Migoro kumulika changamoto ya elimu hasa maeneo ya vijijini, lakini zaidi ya yote ni kwa vipi elimu sio tu ufunguo wa maisha bali pia msingi wa maendeleo kama usemavyo Umoja wa Mataifa.

Sauti
11'55"