NENO LA WIKI-Lisemwalo lipo, kama halipo laja
Neno la wiki ni methali "Lisemwalo lipo kama halipo laja" mchambuzi ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Neno la wiki ni methali "Lisemwalo lipo kama halipo laja" mchambuzi ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani
Katika mada kwa kina leo tunaelekea Uganda, kumulika mizozo ya kifamilia wakati huu wa mlipuko wa COVID-19 na madhara yake.
Janga la virusi vya corona au COVID-19 huenda likawatumbukiza watoto wengine milioni 10 zaidi katika utapiamlo uliokithiri kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la mpango wa chakula duniani WFP. Jason Nyakundi na taarifa zaidi
Kufuatia kimbunga Amphan kilichotua nchini Bangladesh wiki hii , wilaya 19 zimeathirika na watu zaidi ya milioni 2.4 wamelazimika kuhamishiwa kwenye makazi ya muda limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP. Flora Nducha na taarifa zaidi
Serikali ya Kenya imeombwa kuwa wakati huu wa janga la COVID-19 isiwafurushe wakazi wa maeneo yasiyo rasmi ya Kariobangi na Ruai na ilinde usalama wa watetezi wa haki za binadamu ambao wanatishiwa usalama wao kutokana na kutetea haki za wakazi hao
Leo Ijumaa tuna mada kwa kina tunamulika ukatili unaofanyika majumbani kutokana na zuio la kutoka nje lililowekwa kwa sababu ya ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19.
Mlipuko wa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 umeweka wazi mambo mengi ambayo yanaendelea katika jamii.
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, linaendesha vituo rafiki kwa watoto kukusanyika kucheza na kujifunza, baada ya watoto hao kujikuta wakimbizi wa ndani kutokana na ghasia katika jimbo la Ituri.
Makubaliano haya mapya ya mashirika hayo yanapanua wigo wa yale yaliyotiwa saini mwaka 1997 na lengo muhimu mwaka huu litakuwa ni kusaidia juhudi zinazoendelea za kuwalinda watu milioni 70 waliolazimika kutawanywa, dhidi ya janga la virusi vya corona au COVID-19.