Wanandoa wakumbana na karaha badala ya raha, kisa? COVID-19
Pakua
Katika mada kwa kina leo tunaelekea Uganda, kumulika mizozo ya kifamilia wakati huu wa mlipuko wa COVID-19 na madhara yake. Mizozo ambayo inadaiwa kusababishwa na wanafamilia kukaa pamoja majumbani kwa muda mrefu kutokana na vizuizi vya kutembea vilivyowekwa na serikali ikiwa ni moja ya hatua za kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona. John Kibego anatupatia picha halisi.
Audio Credit
Flora Nducha/ John Kibego
Audio Duration
5'51"