Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Walanguzi wa biashara haramu ya binadamu Niger wapigwa na butwaa

Walanguzi wa biashara haramu ya binadamu Niger wapigwa na butwaa

Nchini Niger, hali ya sintofahamu imewaghubika wafanya biashara wa usafirishaji haramu wa binadamu, ambao wamechukua fursa ya biashara hiyo, baada ya soko la watu wanaokimbia mateso, hali ya hatari na umasikini nchini mwao kutafuta maisha kwingine na pia sheria kushika mkondo wake. Ungana na Selina Jerobon kufahamu zaidi.