Mradi wa kutumia biogesi kupikia ni faraja kwa wakazi, Yatta Kenya
Matumizi ya biogesi iliotengenezwa kutokana na kinyesi cha wanyama na taka za nyumbani yanaboresha maisha hususan ya wanawake ambao hutumia hadi saa tatu kila siku kusaka kuni.
Mbinu hii inayojali mazingira na kuzuia kero itokanayo na matumizi ya kuni kupikia imeleta faraja kwa wakazi katika wilaya ya Yatta nchini Kenya. Kufahamu zaidi basi ungana na Grace Kaneiya katika makala ifuatayo.