Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ramadan Kareem waislamu wote Somalia:Keating

Ramadan Kareem waislamu wote Somalia:Keating

[caption id="attachment_305627" align="alignleft" width="350"]hapanapaleramadhan

Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Michael Keating , amewatakia kila la heri wato wote wa Somalia kwa kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Amesema Ramadhan ya kwama huu inafanyika wakati ambapo Wasomali milioni 6.7 wakiwemo maelfu ya wakimbizi wa ndani wanahitaji msaada wa kibinadamu kwa sababu ya ukame. Na kuongeza hilo linafanya juhudi za kuchagiza amani na kuboresha maisha ya watu nchini humo kuwa na maana zaidi na muhimu.

Keating amewataka Wasomali wote kwa niaba ya familia ya Umoja wa Mataifa Somalia kupokea salamu za kuwatakia Ramadhan Kareem.